• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

MAAFISA ELIMU KATA WATAKIWA KUWA WABUNIFU NA KUENDANA NA KASI YA SERIKALI YA AWAMU YA TANO

Posted on: September 26th, 2018

Maafisa elimu wa Kata 21 zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Musoma wametakiwa kuwa wabunifu na wachapakazi katika sehemu zao za kazi ili kuhakikisha wanafunzi wanaondokana na tatizo la kutokujua kusoma, kuandika na kuhesabu na hatimaye ufaulu wa wanafunzi katika shule zilizopo katika Halmashauri hiyo kuongezeka.

Hayo  yamesemwa leo Jumatano 26, Septemba 2018 na Kaimu Afisa elimu Halmashauri ya Wilaya ya Musoma Ndg. Sabato Arika wakati wa kikao kati yake na Maafisa elimu wa Kata 21 zilizopo katika Halmashauri hiyo.

Akizungumza wakati wa kikao hiko Ndg. Arika aliwataka maafisa elimu hao kufahamu malengo ya Halmashauri na kuendana na kasi ya Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.

 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma ina mkakati wa kuhakikisha mwaka ujao wa masomo tunaondokana na tatizo la wanafunzi la kutokujua kusoma, kuandika na kuhesabu (KKK) na hatimaye kuongeza ufaulu wa wanafunzi hao katika shule zetu”* alisema Arika.

Jambo hili linawezekana kwa asilimia mia, kwa hiyo Maafisa elimu Kata mnatakiwa kuwa wabunifu na wachapakazi kuhakikisha malengo haya ya Halmashauri yanatimia na kwenda sambamba na kasi ya serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli”* alisema Arika.

Sambamba na hilo Kaimu Afisa elimu Wilaya ya Musoma Ndg. Sabato Arika, aliwataka Maafisa elimu hao kuhakikisha swala la utoro wa walimu katika shule zilizopo katika Kata zao linatokomezwa.

Pia kuna tatizo kubwa la utoro wa walimu, wengi hawaingii kwenye vipindi wanakuwa kwenye biashara zao binafsi, naomba swala hili mlifatilie na muhakikishe walimu wanakuwa katika maeneo yao ya kazi muda wote” alisema Arika.


Imetolewa na

Kitengo cha Habari na Uhusiano

Halmashauri ya Wilaya ya Musoma.

Matangazo

  • Fomu za kujiunga na Kidato cha Kwanza kwa Mwaka 2021 December 16, 2020
  • UPATIKANAJI WA TAARIFA ZA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KWA NJIA YA MTANDAO September 20, 2018
  • ORODHA YA WATUMISHI WALIOHAMISHWA BAADA YA KUOMBEWA VIBALI VYA UHAMISHO NA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA TANZANIA BARA - JANUARI_FEBRUARI 2018 March 27, 2018
  • Kushiriki Mbio za Mwenge September 04, 2018
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • MAAFISA ELIMU KATA WATAKIWA KUWA WABUNIFU NA KUENDANA NA KASI YA SERIKALI YA AWAMU YA TANO

    September 26, 2018
  • MUSOMA DC YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA KUTOKOMEZA KICHAA CHA MBWA DUNIANI,BUTIAMA

    September 28, 2018
  • WANANCHI WAJITOLEA UJENZI WA KITUO CHA AFYA MUGANGO, UJENZI WAANZA

    October 01, 2018
  • MUSOMA DC: MIKATABA NANE YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA MUGANGO YASAINIWA.

    September 21, 2018
  • Angalia Yote

Video

KAYOMBO AKEMEA VITENDO VYA KISHIRIKINA BUGOJI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • YALIYOJILI KAMATI YA FEDHA
  • Agreement on provision of health services by Japan Government

Tovuti mashuhuri

  • Necta
  • Utumishi
  • Ajira
  • Salary Slip

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Musoma Town opposite to Airport

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa