• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

WAKUU WA IDARA NA VITENGO MUSOMA DC WAPOKEA MREJESHO NA MAPENDEKEZO KUTOKA SAM

Posted on: September 24th, 2018

Wakuu wa Idara na vitengo Halmashauri ya Wilaya ya Musoma wamepokea mrejesho na mapendekezo sambamba na kutoa maoni juu ya kilichobainiwa na timu ya Ufuatiliaji wa Uwajibikaji Jamii, SAM ( Social Accountability Monitoring).


Wakuu hao wa Idara na Vitengo wamepokea mrejesho huo kutoka kwa timu ya ufuatiliaji wa uwajibikaji jamiii (SAM) leo Jumatatu 24, Septemba 2018 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo uliopo eneo la Uwanja wa ndege, Musoma.


Hatua hiyo ya kupokea mrejesho na mapendekezo sambamba na wakuu hao wa idara na vitengo kutoa maoni yao imekuja baada ya timu ya ufuatiliaji wa uwajibikaji wa jamii  (SAM), kufanya kazi ya kupitia miradi mitatu ambayo ni mradi wa shamba la mbegu za mihogo unaosimamiwa na kikundi cha KEUMA, eneo la Maneke Kata ya Busambara, mradi wa pampu ya umwagiliaji unaosimamiwa na kikundi cha Tuvumiliane kilichopo eneo la Kigera Etuma Kata ya Nyakatende na mradi wa pampu ya umwagiliaji unaosimamiwa na kikundi cha Mapambano kilichopo eneo la Kwibara Kata ya Mugango tangu Mwezi Julai 2018.


Timu hiyo ya ufuatiliaji wa uwajibikaji jamii (SAM) iliyoundwa na wawakilishi wanne (4) kutoka AZAK, wakulima wawili (2), wataalamu watatu (3) kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Musoma na Madiwani wawili (2) ilipewa mafunzo maalumu juu ya ufuatiliaji wa miradi ya kilimo na wawezeshaji kutoka ANSAF na kuratibiwa na SHIMAKIUMU.


Imetolewa na


Kitengo cha Habari na Uhusiano


Halmashauri ya Wilaya ya Musoma.

Matangazo

  • Fomu za kujiunga na Kidato cha Kwanza kwa Mwaka 2021 December 16, 2020
  • UPATIKANAJI WA TAARIFA ZA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KWA NJIA YA MTANDAO September 20, 2018
  • ORODHA YA WATUMISHI WALIOHAMISHWA BAADA YA KUOMBEWA VIBALI VYA UHAMISHO NA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA TANZANIA BARA - JANUARI_FEBRUARI 2018 March 27, 2018
  • Kushiriki Mbio za Mwenge September 04, 2018
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • MAAFISA ELIMU KATA WATAKIWA KUWA WABUNIFU NA KUENDANA NA KASI YA SERIKALI YA AWAMU YA TANO

    September 26, 2018
  • MUSOMA DC YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA KUTOKOMEZA KICHAA CHA MBWA DUNIANI,BUTIAMA

    September 28, 2018
  • WANANCHI WAJITOLEA UJENZI WA KITUO CHA AFYA MUGANGO, UJENZI WAANZA

    October 01, 2018
  • MUSOMA DC: MIKATABA NANE YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA MUGANGO YASAINIWA.

    September 21, 2018
  • Angalia Yote

Video

KAYOMBO AKEMEA VITENDO VYA KISHIRIKINA BUGOJI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • YALIYOJILI KAMATI YA FEDHA
  • Agreement on provision of health services by Japan Government

Tovuti mashuhuri

  • Necta
  • Utumishi
  • Ajira
  • Salary Slip

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Musoma Town opposite to Airport

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa