• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

IDARA YA UJENZI

1. Kutoa ushauri kuhusu sera ya sekta ya Ujenzi .

2. Kusimamia mfumo wa sheria kanuni na taratibu za sekta ya ujenzi kwa nia ya kuboresha ujenzi na matengenezo/ukarabati wa Barabara madaraja na majengo

3. Kubuni, kusimamia na kuratibu utekelezaji wa miradi ya ujenzi na matengenezo/ukarabati barabara , madaraja na majengo

4. Kufanya uchambuzi wa kina wa taarifa na takwimu za kujange/ kukarabati barabara madaraja na majengo

5. Kutayarisha taratibu za ununuzi wa makubaliano ya mikataba inayoihusisha Serikali katika masuala ya Ujenzi wa Barabara madaraja na majengo

6. Kusimamia utekelzaji wa makubaliano ya mikataba inayoihusisha Serikali katika masuala ya ujenzi wa Barabara madaraja na majengo

7. Kutayarisha mipango na bajeti mwaka ya ujenzi na matengenezo ukarabati wa barabara madaraja na majengo

8. Kutayarisha taarifa za miradi ya maendeleo ya mwezi, robo mwaka nusu mwaka na mwaka mzima ili kueleza maendeleo ya kazi ujenzi wa barabara madaraja na majengo

9. Kutoa ushauri wa kitaalam kuhusu matumizi bora ya umeme kutokana na mendeleo ya kiteknolojia.

10. Kuratibu miradi ya umeme na kutayarisha Programu ya utekelezaji wa miradi ya umeme

11. Kufanya ukaguzi wa shughuli za umeme ikiwa pamoja na kuhakiki viwango vya ubora wa huduma hiyo.

12. Kupitia mapendekezo ya miradi ya barabara madaraja na majengo

13. Kufanya ukaguzi wa majengo ikiwa pamoja na kuhakiki viwango vya ubora wa majengo

14. Kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu usanifu majengo

15. Kubuni kusimamia na kuratibu utekelezaji wa sera yenye kuhusisha taalum za wasanifu wa majengo

16. Kuhakikisha kuwa mikakati ya utekelezaji wa sera yenye kuhusisha taaluma za wasanifu majengo inazingatiwa

17. Kukusanya taarifa na takwimu kuhusu miradi mbalimbali kuhusu bei za vifaa vya barabara na majengo

18. Kuratibu shughuli za ukadiriaji ujenzi katika ngazi zote (kupokea mapendekezo, kutathimini mapendekezo kuingia mikataba na kuanza utekelezaji).

19. Kubuni, kusimamia na kuratibu utekelezaji wa sera ya ujenzi yenye kuhusisha taaluma za ukadiriaji ujenzi

20. Kuhakikisha kuwa mikakati ya utekelezaji wa sera ya ujenzi yenye kuhusisha taaluma za ukadiriaji ujenzi inazingatiwa

Matangazo

  • Fomu za kujiunga na Kidato cha Kwanza kwa Mwaka 2021 December 16, 2020
  • UPATIKANAJI WA TAARIFA ZA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KWA NJIA YA MTANDAO September 20, 2018
  • ORODHA YA WATUMISHI WALIOHAMISHWA BAADA YA KUOMBEWA VIBALI VYA UHAMISHO NA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA TANZANIA BARA - JANUARI_FEBRUARI 2018 March 27, 2018
  • Kushiriki Mbio za Mwenge September 04, 2018
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • MAAFISA ELIMU KATA WATAKIWA KUWA WABUNIFU NA KUENDANA NA KASI YA SERIKALI YA AWAMU YA TANO

    September 26, 2018
  • MUSOMA DC YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA KUTOKOMEZA KICHAA CHA MBWA DUNIANI,BUTIAMA

    September 28, 2018
  • WANANCHI WAJITOLEA UJENZI WA KITUO CHA AFYA MUGANGO, UJENZI WAANZA

    October 01, 2018
  • MUSOMA DC: MIKATABA NANE YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA MUGANGO YASAINIWA.

    September 21, 2018
  • Angalia Yote

Video

KAYOMBO AKEMEA VITENDO VYA KISHIRIKINA BUGOJI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • YALIYOJILI KAMATI YA FEDHA
  • Agreement on provision of health services by Japan Government

Tovuti mashuhuri

  • Necta
  • Utumishi
  • Ajira
  • Salary Slip

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Musoma Town opposite to Airport

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa