• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

TANGAZO LA KAZI

Posted on: October 10th, 2018

Mkurugezi Mtendaji Halmashauri  ya Wilaya ya Musoma anawatangazia wananchi wote nafasi za kazi katika Idara ya Fedha na Biashara.

1. Mhasibu Msaidizi nafasi 3

Sifa 

  • Awe na Elimu kuanzia ngazi ya Stashahada    na kuendelea.
  • Awe na ujuzi wa Komputa; Ujuzi katika Progamura za EPICOR itakuwa sifa ya ziada

Mshahara 

Mshahara kwa Mwezi TGS C 1 sawa na Tsh 525,000/=.

Muda wa Mkataba

Muda wa Mkataba ni mwaka mmoja. Mkataba  unaweza kuuhishwa kutegemea uwepo wa nafasi na utendaji na tabia mzuri.

 

 

Kazi za kufanya.

  • Kupokea na kulipa fedha.
  • Kutunza daftari, nyaraka na Kumbukumbu mbali mbali za fedha.
  • Kufanya usuluhisho wa hesabu za Benki
  • Kukagua hati za malipo.
  • Kupitisha malipo kulingana na Kanuni za fedha.
  • Kuandika taaarifa ya mapato na matumizi kadri utakavyoelekezwa na Mkuu wako wa Idara.
  • Kukusanya kukagua na kusimamia mawakala wanaokusanya mapata ya Halmashauri.
  • Kufatilia madaeni ya Halmashauri kutoka kwa wadaiwa.

Masharti ya Kuomba

  • Mwombaji shari awe Mtanzainia, umri wa Miaka 18 na Kuendelea
  • Barua ya maombi ipitishwe kwa Mtendaji wa Kijiji ikiwa na wadhamini watatu wanaoaminika.
  • Maombi yote yaambatane na nakala za vyeti vya Elimu, kuzaliwa  na CV.
  • Barua iandikwe kwa mkono na kumbandikwa picha (Paspoti Size) na kutumwa kwa:-
  •  
  • Mkurugenzi Mtendaji
  • Halmashauri ya Wilaya ya Musoma.
  • S.L.P 344
  • MUSOMA.

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 13 Octoba, 2018  saa 9:30 jioni

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA KWANZA NA CHA TATU KIWILAYA January 07, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI November 11, 2022
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2022 December 05, 2022
  • WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023 December 14, 2022
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • MAZINGIRA YA HOSPITALI YA WILAYA HAYARIDHISHI

    March 24, 2023
  • MAFUNZO YATOLEWA KWA WALIMU

    March 23, 2023
  • EMEDO NA IPSOS YATOA MATOKEO YA UTAFITI WA KUZUIA WAVUVI KUZAMA

    June 10, 2022
  • TUZO YA UFAULU WA TAALUMA

    February 21, 2022
  • Angalia Yote

Video

UUZAJI WA VIWANJA VYA MAKAO MAKUU
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • YALIYOJILI KAMATI YA FEDHA
  • Agreement on provision of health services by Japan Government

Tovuti mashuhuri

  • Necta
  • Utumishi
  • Ajira
  • Salary Slip

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Musoma Town opposite to Airport

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa