• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

Miradi iliyokamilika

TAARIFA YA MRADI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA SHULE YA SEKONDARI KASOMA IKIWA NI AJENDA YA DUNIA KUHUSU NISHATI SAFI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA KUPITIA CSR (MMG GOLD LIMITED) WENYE THAMANI YA Tsh 26,805,102/=


Mradi huu wa ujenzi wa jiko la gesi ni sehemu ya juhudi za kampuni ya MMG Gold Limited kupitia mpango wa Corporate Social Responsibility (CSR) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Musoma katika kusaidia jamii kuhamia kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia — jambo linaloendana moja kwa moja na Ajenda ya Dunia kuhusu Nishati Safi na Uhifadhi wa Mazingira.


Jumla ya fedha zilizopokelewa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huu ni Tsh 26,805,102/=


Majiko ya kupikia ikiwa ni matumizi ya nishati safi ya kupikia  jambo linaloendana moja kwa moja na Ajenda ya Dunia kuhusu Nishati Safi na Uhifadhi wa Mazingira.


Kupitia mradi huu, shule itapunguza matumizi ya kuni na mkaa, hivyo kuimarisha uhifadhi wa mazingira na kuboresha afya ya wapishi na wanafunzi wanaohudumia chakula.

Tunawashukuru MMG Gold Limited, uongozi wa shule, na wadau wote walioshiriki kufanikisha utekelezaji wa mradi huu muhimu.


TAARIFA YA MRADI – MUSEKELA COMPANY LTD

Kiwanda cha Kufyatua Tofali (Makao Makuu – HQ)

Mradi wa MUSEKELA COMPANY LTD unahusisha kiwanda cha kufyatua tofali kilichopo katika Makao Makuu (HQ).



Kwa sasa, matengenezo ya mashine yamekamilika kikamilifu na kiwanda kipo tayari kuanza shughuli za uzalishaji wa tofali.


TAARIFA YA MRADI WA SWASH  SHULE YA MSINGI NYABAENGERE WENYE THAMANI YA Tsh 48,649,442.83/=

Mradi wa SWASH (School Water, Sanitation and Hygiene) kwa mwaka wa fedha 2024/2025 unatekelezwa katika Shule ya Msingi Nyabaengere kwa lengo la kuboresha miundombinu ya maji safi, usafi na afya shuleni.

Jumla ya fedha zilizopokelewa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huu ni Tsh 48,649,442.83/=



Hatua iliyofikiwa, Ujenzi wa matundu 17 ya vyoo umekamilika kwa kiwango kikubwa. 


Kazi zilizobaki ni kufunga vigae katika korido, kufunga mifereji ya maji (gata), na kukamilisha awamu ya pili ya mifumo ya maji ili vyoo viweze kuanza kutumika rasmi.

Matangazo

  • MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI November 27, 2025
  • SIKU YA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI OKTOBA 29, 2025 October 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA KATIKA WA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 October 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI 2025 October 03, 2025
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • ELIMU YA UKATILI WA KIJINSIA, VVU/UKIMWI NA HAKI ZA BINADAMU YATOLEWA KWA WANANCHI NA WANAFUNZI WA BUKIMA KWA USHIRIKIANO WA DAWATI LA JINSIA NA WATOTO NA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII

    December 03, 2025
  • SIKU YA AFYA NA LISHE YAFANYIKA KIJIJI CHA KUSENYI, SUGUTI WANANCHI WAELIMISHWA NA KUPATA HUDUMA MBALIMBALI ZA KINGA.

    December 03, 2025
  • TAARIFA YA KIKAO CHA UPOKEAJI WA RIPOTI MAALUMU YA UTAFITI WA TATHMINI YA UTOAJI HUDUMA YA MATONE YA VITAMINI A.

    December 02, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI (CMT) YAFANYA UFUATILIAJI NA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO VIJIJINI.

    November 28, 2025
  • Angalia Yote

Video

MANDHARI INAYOPATIKANA KISIWANI RUKUBA, KATA YA ETARO HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal (PEPMIS)
  • Mfumo wa manunuzi (NeST)
  • PREM
  • PReMS
  • GMS
  • Mfumo wa kujisajiri kwa ajili ya bima ya afya (NHIF)

Tovuti mashuhuri

  • OWM - TAMISEMI
  • OR - UTUMISHI
  • NeST
  • NECTA
  • MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa