• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

KAMBI MAALUM YA HUDUMA YA KUTATUA KERO ZA WANANCHI – HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA

Tuesday 3rd, February 2026
@KIWANJA CHA SHULE YA AWALI NA MSINGI BWAI

Halmashauri ya Wilaya ya Musoma imeanza rasmi leo, tarehe 26 Januari 2026, siku ya kwanza ya utekelezaji wa Kambi Maalum ya Huduma ya Kutatua Kero za Wananchi. Kambi hii itatekelezwa kwa muda wa siku tatu mfululizo kuanzia tarehe 26 hadi 28 Januari 2026 katika Viwanja vya Shule ya Msingi Bwai, vilivyopo Kata ya Kiriba.

Lengo kuu la kambi hii ni kuwasikiliza wananchi, kupokea kero zao, na kuzitatua kwa kuwapatia huduma mbalimbali karibu na maeneo yao wanayoishi. Kupitia zoezi hili, Halmashauri inalenga kuboresha utoaji wa huduma kwa kuwakutanisha wananchi na taasisi za Serikali katika eneo moja kwa wakati mmoja.

Taasisi na idara mbalimbali za Serikali zimeweka matenti maalum kwa ajili ya kutoa huduma kulingana na majukumu yao. Wananchi wamejitokeza kwa wingi na wanaendelea kujitokeza katika matenti hayo ili kupata huduma, ushauri, na ufumbuzi wa changamoto zinazowakabili katika sekta mbalimbali.

Mgeni rasmi katika siku ya kwanza ya Kambi Maalum ya Huduma ya Kutatua Kero za Wananchi ni Mheshimiwa Juma Chikoka, Mkuu wa Wilaya ya Musoma, ambaye amefungua rasmi zoezi hilo kwa kutembelea mabanda mbalimbali ya huduma kutoka taasisi na idara za Serikali zikiwemo TRA, TANESCO, NIDA, RITA, NIC, Sekta ya Madini, pamoja na idara za Afya, Elimu, Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii, Dawati la Jinsia, RUWASA, MUWASA, Biashara, Mapato, Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Damu Salama, Huduma za HIV, Lishe, Magonjwa Yasiyoambukiza, Magonjwa Yanayoambukiza, Uzazi wa Mpango, Ardhi, TARURA na nyinginezo.

Halmashauri ya Wilaya ya Musoma inaendelea kuwakaribisha wananchi wote kujitokeza kwa wingi kushiriki kikamilifu katika siku zote tatu za kambi hii ili kunufaika na huduma zinazotolewa.

Matangazo

  • MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI November 27, 2025
  • SIKU YA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI OKTOBA 29, 2025 October 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA KATIKA WA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 October 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI 2025 October 03, 2025
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • MAFUNZO YA MAANDALIZI YA MPANGO MKAKATI WA SP KWA MIAKA 5 IJAYO KUANZIA 2026/2027–2030/2031

    January 30, 2026
  • WATAALAM WA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI WAFIKA KUFANYA UFUATILIAJI NA TATHIMINI YA UJENZI WA JENGO LA ONE STOP CENTER

    January 28, 2026
  • SIKU YA TATU YA KUTATUA KERO ZA WANANCHI.

    January 28, 2026
  • SIKU YA PILI YA KAMBI MAALUM YA UTATUZI WA KERO ZA WANACHI.

    January 27, 2026
  • Angalia Yote

Video

MANDHARI INAYOPATIKANA KISIWANI RUKUBA, KATA YA ETARO HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal (PEPMIS)
  • Mfumo wa manunuzi (NeST)
  • PREM
  • PReMS
  • GMS
  • Mfumo wa kujisajiri kwa ajili ya bima ya afya (NHIF)

Tovuti mashuhuri

  • OWM - TAMISEMI
  • OR - UTUMISHI
  • NeST
  • NECTA
  • MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa