Thursday 30th, October 2025
@SOKO LA ETARO
Mwenge wa Uhuru kwa Mwaka 2023 utapokelewa katika viwanja vya soko Etaro na utaagwa Julai 11,2023 katika viwanja vya shule ya Msingi Kangetutya iliyoko Bunda.Mwenge huu utatembelea Miradi saba(7) katika Halmashauri yetu na kukimbizwa kwa umbali wa Kilomita 102.3
Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.
Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma
Simu: 0282622163
simu ya mkononi:
Barua pepe: ded@musomadc.go.tz
Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa