• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

Kilimo,umwagiliaji na ushirika

IDARA YA KILIMO MIFUGO NA UMWAGILIAJI

Majukumu ya Idara

1. Kusimamia na kuratibu ukaguzi mazao ngazi ya Halmashauri

2. Kusimamia mtandao wa mawasiliano ngazi ya Halmashauri.

3. Kuandaa utabiri wa uzalishaji mazao ngazi ya Halmashauri

4. Kufuatilia upelekaji wa taaluma ya uzalishaji mazao ngazi ya

Halmashauri.

5. Kuratibu na kufuatilia Programu zote za ugazi katika eneo husika

6. Kushirikiana na taasisi zisizo za kiserikali na mashirika ya umma

yanayojihusisha na uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa mazao

7. Kuandaa mahitaji na upatikianaji wa pembejeo

8. Kusimamia udhibiti wa visumbufu vya mazao na mimea katika

ngazi ya Halmashauri

9. Kusimamia/ kuendeleza taaluma ya uzalishaji wa mazao ngfazi

ya Halmashauri

10. Kutafsiri sera kuhusu uendeshaji na uzalishaji mazao.

11. Kuandaa/ kuandika taarifa ya utekelezaji wa sekta ya kilimo

12. Kuandaa program za uendelezaji mazao.

13. Kuratibu huduma za umwagiliaji kwa wakulima

14. Kufanya tathimini ya Mazingira kabla na baada ya miradi ya

umwagiliaji

15. Kuwaelimisha wakulma juu ya sheria za kilimo

16. Kutoa ushauri wa kitaalmi juu ya matumizi ya pembejeo

17. Kushirikiana na vikundi vya wakulima kuhusu matatizo na

teknolojia sahihi za kutumia

18. Kuwafundisha wakulima mbinu bora za kilimo, matumizi ya

mbolea, madawa na pembejeo za kilimo.

19. Kuwafikisha wakulima matokeo ya utafiti

20. Kushirikiana na watafiti kuendesha vishamba vya majaribio

21. Kuandaa bajeti ya kawaida na maendeleo

22. Kukusantya takwimu za bei za mazao kila wiki na kila mwezi

23. Kukusanya takwimu za upatikanaji wa mazao katika masoko kila

wiki/mwezi

24. Kuwatambua wasambazaji wa pembejeo

25. Kuhamasisha uzalishaji wa mazao yab bustani

26. Kusimamia/ kuendeleza uzalishaji wa mbegu bora

27. Kutoa ushauri juu ya uendeshaji wa vyama vya ushirika

28. Kuratibu/kushiriki katika kutoa elimu ya ushirika shirikishi

29. Ukaguzi wa hesabu na kufuatilia uendeshaji wa vyama vya

ushirika kulingana na sheria ya vyama vya ushirika.

30. Kutoa mafunzo kazini juu ya uandikishaji wa vitabu vya hesabu

na kumbukumbu zote muhimu kwa viongozi, waandishi na

watunza hazina wa vyama vya ushirika

31. Kuhamasisha uanzishaji wa vyama vya ushirika

32. Kutoa ushauri juu ya uendeshaji wa vyama vya ushirika

33. Kukagua vitabu vya hesabu na kushauri juu ya uendeshaji wa

vyama vya ushirika

34. Kufanya tathimini ya maendeleo ya vyama vya ushirika na kutoa

ushauri ipasavyo.

Matangazo

  • SIKU YA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI OKTOBA 29, 2025 October 29, 2025
  • MTIHANI WA KUHITIMU ELIMU YA MSINGI (PSLE) KUANZA SEPTEMBA 10, 2025 NA KUMALIZIKA SEPTEMBA 11, 2025. September 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI 2025 August 29, 2025
  • TANGAZO LA HESABU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 July 01, 2025
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • MKUU WA WILAYA YA MUSOMA MHE JUMA ISSA CHIKOKA ASHIRIKI MUSOMA BONANZA ILIYOAMBATANA NA SHUGHULI MBALIMBALI

    September 27, 2025
  • KILIMO CHA BUSTANI KWA TEKNOLOJIA YA UMWAGILIAJI WA MATONE (DRIP IRRIGATION SYSTEM) SHULE YA MSINGI NYETASYO

    September 25, 2025
  • WATUMISHI AJIRA MPYA 149 KUTOKA DIVISHENI NA VITENGO MBALIMBALI WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI.

    September 18, 2025
  • MKUU WA MKOA WA MARA MHE. KANALI EVANS ALFRED MTAMBI AMKABIDHI MKURUGENZI MTENDAJI (W) NDUGU. MSONGELA NITU PALELA CHETI CHA KUTHAMINI (CERTIFICATE OF APPRECIATION) KWENYE MAADHIMISHO YA KILELE CHA MARA DAY YALIYOFANYIKA WILAYANI BUTIAMA 15 SEPTEMBA 2025.

    September 15, 2025
  • Angalia Yote

Video

WATUMISHI WA UMMA MUSOMA DC WASHIRIKI MAZOEZI YA PAMOJA KUIMARISHA AFYA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal (PEPMIS)
  • Mfumo wa manunuzi (NeST)
  • PREM
  • PReMS
  • GMS
  • Mfumo wa kujisajiri kwa ajili ya bima ya afya (NHIF)

Tovuti mashuhuri

  • OR - TAMISEMI
  • OR - UTUMISHI
  • NeST
  • NECTA
  • MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa