• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA YANUFAIKA NA VIFAA VYA UMWAGILIAJI, WAKULIMA WADOGO WAONGEZA UZALISHAJI NA KIPATO

Posted on: January 9th, 2026

Wakulima wadogo Halmashauri ya Wilaya ya Musoma katika Mkoa wa Mara wapatiwa vifaa vya umwagiliaji na kuishukuru Serikali kufuatia kutokana na matarajio ya kuongeza uzalishaji na kipato kupitia kilimo cha umwagiliaji.

Akizindua matumizi ya vifaa hivyo, Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb), amesema Serikali ya Awamu ya Sita ina matumaini makubwa na kilimo cha umwagiliaji katika kuwawezesha wakulima wadogo kulima kwa uhakika.

Ameeleza kuwa hatua hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa Agenda 10/30 yenye kulenga kukuza kilimo kwa asilimia ifikapo mwaka 2030, akisisitiza kuwa matumizi ya teknolojia za kisasa za kilimo yamekuwa nguzo muhimu katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi na kuimarisha usalama wa chakula nchini.

Kwa upande wake, Mratibu wa Programu ya TFSRP, Bw. Timothy Semuguruka, amesema Mkoa wa Mara umenufaika na mpango huo baada ya tathmini kubaini uwepo wa vyanzo vya kudumu vya maji. “Vifaa hivi vitawawezesha wakulima kupunguza gharama za uzalishaji, kuongeza tija na kutumia ardhi yao kikamilifu kwa kilimo cha umwagiliaji,” amesema Semunguruka.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Mhe. Juma Chikoka ameishukuru Wizara ya Kilimo kwa kupeleka vifaa hivyo wilayani humo, akibainisha kuwa uwekezaji huo unakwenda kuchochea maendeleo ya kilimo kwa kuongeza uzalishaji wa mazao ya bustani na kuimarisha uchumi wa wananchi wa Musoma na Mkoa wa Mara kwa ujumla.


Matangazo

  • MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI November 27, 2025
  • SIKU YA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI OKTOBA 29, 2025 October 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA KATIKA WA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 October 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI 2025 October 03, 2025
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA YANUFAIKA NA VIFAA VYA UMWAGILIAJI, WAKULIMA WADOGO WAONGEZA UZALISHAJI NA KIPATO

    January 09, 2026
  • MUSOMA DC YATOA MILIONI 135.4 MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI 11 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WENYE ULEMAVU

    January 09, 2026
  • KAMATI YA MAAFA YA WATAALAM KUTOKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA IMEFANYA TATHMINI YA ATHARI ZA MVUA KUBWA KIJIJI CHA KURWAKI.

    December 31, 2025
  • ZIARA YA MGUU KWA MGUU YA MKUU WA WILAYA YA MUSOMA, MHE. JUMA CHIKOKA, PAMOJA NA TIMU YA MENEJIMENTI

    December 30, 2025
  • Angalia Yote

Video

MANDHARI INAYOPATIKANA KISIWANI RUKUBA, KATA YA ETARO HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal (PEPMIS)
  • Mfumo wa manunuzi (NeST)
  • PREM
  • PReMS
  • GMS
  • Mfumo wa kujisajiri kwa ajili ya bima ya afya (NHIF)

Tovuti mashuhuri

  • OWM - TAMISEMI
  • OR - UTUMISHI
  • NeST
  • NECTA
  • MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa