• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

SASA TUNAANZA UKURASA MPYA

Posted on: December 29th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mh. Said Mtanda amewataka Maafisa habari ngazi za Halmashauri pamoja na Mkoa kuwa wabunifu na kutojigeuza kuwa waandishi wa habari Bali watimize majukumu yao. Kauli hiyo ametoa kwenye kikao walichokutana na waandishi wa habari wa Mkoa wa Mara Leo Desemba 29 ,2023 katika ukumbi wa uwekezaji kilichowashirikisha maafisa habari kutoka kwenye halmashauri zote za Mkoa wa Mara. Mtanda alisema Waandishi ni chachu ya kusukuma maendeleo kwa jamii hivyo hawana budi kushirikishwa Kwa kupewa taarifa na kuwa huru katika kutekeleza majukumu yao ya kazi. Aidha amewataka Maafisa habari hao na viongozi wa Mkoa huo kutoa ushirikiano Kwa waandishi wa habari Kwa kuwapa taarifa kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao . "Ukiona umeandikwa una mapungufu usichukie mwaandishi wa habari alindwe na apewe uhuru wa kutekeleza majukumu yake "amesema Mtanda. Aidha Mtanda amewashukuru na kuwapongeza waandishi wa habari mkoani hapa Kwa kufanya kazi zao Kwa waledi Kwa kipindi alichofika mkoani hapo na kuwataka kuendelea na utendaji wao Kwa uhuru na endapo jambo litaenda tofauti wasisite kumjulisha. Licha ya hayo Mtanda alisema anao uzoefu Katika tasnia ya habari hivyo anafahamu umuhimu wao ambapo amewakumbusha waandishi wa habari kuandika habari za ukweli , zisizoegemea upande mmoja na kuandika habari za uchunguzi na uibuaji. Nao Waandishi wa habari wememshukuru Mkuu wa Mkoa huyo kuthamini na kutambua umuhimu wa mchango wao na kwamba yeye ndie Mkuu wa Mkoa pekee alifungua ukurasa Mpya wa kukutana nao Kwa lengo la kutaka ushirikiano wa kufanya kazi Kwa pamoja Kwa ajili ya utekelezaji wa maendeleo ya wananchi wa mkoa wa Mara. Lengo la kikao cha kukutana na waandishi wa habari ni kuangalia yaliyofanyika mwaka huu wa 2023 na changamoto na kuona namna ya kwenda mwaka mpya wa 2024.

Matangazo

  • TANGAZO LA MATOKEO YA USAILI WA WAANDISHI WASAIDIZI August 23, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI August 17, 2024
  • MATOKEO YA UPIMAJI MTIHANI WA MOCK KIWILAYA KWA MWAKA 2023 May 17, 2023
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • **HUU NI MTEGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA**

    March 11, 2025
  • Bodi ya pamba Tanzania yatoa baiskeli Kwa wakulima wawezeshaji wa zao la pamba

    November 12, 2024
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAKAGUA UJENZI WA VYOO SHULE ZA MSINGI

    November 01, 2024
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 YATOLEWA

    October 09, 2024
  • Angalia Yote

Video

MWENGE WA UHURU 2024 WASISITIZA MATUMIZI YA MFUMO WA NEST
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi portal(ess)
  • YALIYOJILI KAMATI YA FEDHA
  • Agreement on provision of health services by Japan Government
  • PREM

Tovuti mashuhuri

  • Necta
  • Utumishi
  • Ajira
  • Salary Slip

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Musoma Town opposite to Airport

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa