• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

SASA TUNAANZA UKURASA MPYA

Posted on: December 29th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mh. Said Mtanda amewataka Maafisa habari ngazi za Halmashauri pamoja na Mkoa kuwa wabunifu na kutojigeuza kuwa waandishi wa habari Bali watimize majukumu yao. Kauli hiyo ametoa kwenye kikao walichokutana na waandishi wa habari wa Mkoa wa Mara Leo Desemba 29 ,2023 katika ukumbi wa uwekezaji kilichowashirikisha maafisa habari kutoka kwenye halmashauri zote za Mkoa wa Mara. Mtanda alisema Waandishi ni chachu ya kusukuma maendeleo kwa jamii hivyo hawana budi kushirikishwa Kwa kupewa taarifa na kuwa huru katika kutekeleza majukumu yao ya kazi. Aidha amewataka Maafisa habari hao na viongozi wa Mkoa huo kutoa ushirikiano Kwa waandishi wa habari Kwa kuwapa taarifa kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao . "Ukiona umeandikwa una mapungufu usichukie mwaandishi wa habari alindwe na apewe uhuru wa kutekeleza majukumu yake "amesema Mtanda. Aidha Mtanda amewashukuru na kuwapongeza waandishi wa habari mkoani hapa Kwa kufanya kazi zao Kwa waledi Kwa kipindi alichofika mkoani hapo na kuwataka kuendelea na utendaji wao Kwa uhuru na endapo jambo litaenda tofauti wasisite kumjulisha. Licha ya hayo Mtanda alisema anao uzoefu Katika tasnia ya habari hivyo anafahamu umuhimu wao ambapo amewakumbusha waandishi wa habari kuandika habari za ukweli , zisizoegemea upande mmoja na kuandika habari za uchunguzi na uibuaji. Nao Waandishi wa habari wememshukuru Mkuu wa Mkoa huyo kuthamini na kutambua umuhimu wa mchango wao na kwamba yeye ndie Mkuu wa Mkoa pekee alifungua ukurasa Mpya wa kukutana nao Kwa lengo la kutaka ushirikiano wa kufanya kazi Kwa pamoja Kwa ajili ya utekelezaji wa maendeleo ya wananchi wa mkoa wa Mara. Lengo la kikao cha kukutana na waandishi wa habari ni kuangalia yaliyofanyika mwaka huu wa 2023 na changamoto na kuona namna ya kwenda mwaka mpya wa 2024.

Matangazo

  • MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI November 27, 2025
  • SIKU YA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI OKTOBA 29, 2025 October 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA KATIKA WA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 October 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI 2025 October 03, 2025
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • ELIMU YA UKATILI WA KIJINSIA, VVU/UKIMWI NA HAKI ZA BINADAMU YATOLEWA KWA WANANCHI NA WANAFUNZI WA BUKIMA KWA USHIRIKIANO WA DAWATI LA JINSIA NA WATOTO NA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII

    December 03, 2025
  • SIKU YA AFYA NA LISHE YAFANYIKA KIJIJI CHA KUSENYI, SUGUTI WANANCHI WAELIMISHWA NA KUPATA HUDUMA MBALIMBALI ZA KINGA.

    December 03, 2025
  • TAARIFA YA KIKAO CHA UPOKEAJI WA RIPOTI MAALUMU YA UTAFITI WA TATHMINI YA UTOAJI HUDUMA YA MATONE YA VITAMINI A.

    December 02, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI (CMT) YAFANYA UFUATILIAJI NA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO VIJIJINI.

    November 28, 2025
  • Angalia Yote

Video

MANDHARI INAYOPATIKANA KISIWANI RUKUBA, KATA YA ETARO HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal (PEPMIS)
  • Mfumo wa manunuzi (NeST)
  • PREM
  • PReMS
  • GMS
  • Mfumo wa kujisajiri kwa ajili ya bima ya afya (NHIF)

Tovuti mashuhuri

  • OWM - TAMISEMI
  • OR - UTUMISHI
  • NeST
  • NECTA
  • MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa