Posted on: January 22nd, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Musoma Mhe. Dkt. Khalifan Haule Leo Januari 22,2024 katika ukumbi wa Halmashauri amewataka Watendaji wa Vijiji kusimamia ulinzi na usalama katika vijiji vyao. Amewakumbusha kwamba wa...
Posted on: January 5th, 2024
Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohamed Mtanda leo Januari 5, 2024 amefanya ziara katika Halmashauri yetu ya Musoma na kukagua ujenzi wa Sekondari ya Wanyere, Nyumba za Wakuu wa Idara, Maabara ya Sekon...
Posted on: January 10th, 2024
Mkuu wa Wilaya Musoma Dr. Alfan Haule Leo Jan 10, 2024 katika ziara yake Shule ya Msingi Wanyere amewataka wanafunzi wote ambao hawajaanza kuja shule wahudhurie kwani masomo yameshaanza kutolewa na Wa...