• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

Miradi Inayoendelea

TAARIFA YA MRADI WA UJENZI WA ZAHANATI MPYA YA SEKA KUPITIA CSR (MMG GOLD LIMITED) WENYE THAMANI YA Tsh 50,000,000/=

CSR kutoka MMG GOLD LIMITED – Ujenzi wa Jengo la Zahanati Mpya ya Seka (kuanzia msingi hadi hatua ya boma kukamilika)


Jumla ya fedha zilizopokelewa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huu ni Tsh 50,000,000/=

Hatua iliyofikiwa.

Kazi za ujenzi wa jengo la zahanati mpya ya Seka zimefikia hatua nzuri ambapo boma limekamilika kikamilifu, hivyo hatua ya kwanza ya mradi imekamilika kwa asilimia 100%.

Kwa sasa, tunasubiri hatua ya pili ya utekelezaji ambayo itahusisha kazi za ukamilishaji wa jengo, ikiwemo upauaaji, umaliziaji wa ndani, mifumo ya maji na umeme ili jengo liweze kuanza kutumika kutoa huduma bora za afya kwa wananchi.

Mradi huu umefadhiliwa kupitia mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) wa MMG Gold Limited, ukilenga kuboresha huduma za afya kwa wananchi wa eneo la Seka na vijiji jirani.
Tunawashukuru wadau wote waliounga mkono juhudi hizi za maendeleo.


TAARIFA YA MRADI WA BOOST SHULE YA MSINGI MABUIMERAFURU "B" WENYE THAMANI YA TSH 119,923,697/=

Mradi wa BOOST unahusisha ujenzi wa vyumba vinne (4) vya madarasa na vyoo vyenye jumla ya matundu tisa (9) – wavulana (ME) 4 na wasichana (KE) 5.

Jumla ya fedha zilizopokelewa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huu ni Tsh 119,923,697/=.



Hatua ya ujenzi wa msingi wa madarasa hayo hadi sasa.


Kwa sasa, ujenzi umefikia hatua ya msingi kwa vyumba vyote vinne na vyoo vyote tisa, sambamba na kazi ya kuweka hardcore (setting).


TAARIFA YA MRADI – BOOST WENYE THAMANI YA Tsh 88,623,697/=.

Mradi wa BOOST: Ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa na vyoo matundu sita vya wavulana katika Shule ya Msingi Bwasi B unaendelea vizuri

Jumla ya fedha zilizopokelewa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huu ni Tsh 88,623,697/=.


Kwa sasa, ujenzi umefikia hatua ya kufunga lenta ya juu ya jengo la madarasa, huku kazi ya kunyoosha ukuta wa vyoo ikiendelea katika kozi ya tatu.


TAARIFA YA MRADI WA UJENZI WA KITUO CHA AFYA KATARYO WENYE THAMANI YA Tsh 250,000,000/=

Jumla ya fedha zilizopokelewa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huu ni Tsh 250,000,000/=.


Hatua iliyofikiwa;

Kazi za ujenzi zinaendelea vizuri ambapo boma la jengo la maabara na jengo la OPD (Out Patient Department) viko katika hatua nzuri ya ujenzi. 


Aidha, ujenzi wa mashimo ya vyoo umeanza na unaendelea kufanyika kwa kasi.

Mradi huu unatekelezwa kwa lengo la kuboresha huduma za afya kwa wananchi wa Kata ya Kataryo na maeneo jirani, kupitia upatikanaji wa miundombinu bora na ya kisasa ya afya.


TAARIFA YA MRADI WA UKAMILISHAJI WA VYUMBA VIWILI VYA MADARASA NA UJENZI WA MATUNDU MATANO YA VYOO SHULE SHIKIZI YA KARUSENYI WENYE THAMANI YA Tsh 31,000,000/=

Jumla ya fedha zilizopokelewa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huu ni Tsh 31,000,000/=


Hatua iliyofikiwa

  • Ufungaji wa mbao za dali (brandering) umekamilika kwa madarasa yote mawili.

  • Ujenzi wa shimo la vyoo, boma, na upauaji umekamilika kwa mafanikio.

Mradi huu unatekelezwa kwa lengo la kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi wa Shule Shikizi ya Karusenyi kwa kuongeza nafasi za madarasa na miundombinu bora ya vyoo.



TAARIFA YA MRADI WA BOOST UJENZI WA MADARASA 5 NA VYOO 12 SHULE YA AWALI NA MSINGI JITIRORA WENYE THAMANI YA Tsh 158,723,697/=

Mradi huu unatekelezwa kupitia programu ya BOOST kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya shule kwa kujenga madarasa 5 na vyoo matundu 12 katika Shule ya Msingi Jitirora.

Jumla ya fedha zilizopokelewa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huu ni Tsh 158,723,697/=

Kazi za ujenzi zimefikia hatua nzuri kama ifuatavyo:


Madarasa 2 ya Awali na vyoo matundu 6

  • Ujenzi umefikia hatua ya renta

  • Vyoo vimefikia hatua ya kumwaga jamvi


Madarasa 3 ya Msingi

  • Mafundi wako eneo la kazi na hatua iliyofikiwa ni kupanga hardcore

Mradi huu unatekelezwa kwa lengo la kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia kwa wanafunzi wa Jitirora Primary School na kuongeza upatikanaji wa miundombinu rafiki kwa elimu bora.

Matangazo

  • SIKU YA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI OKTOBA 29, 2025 October 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA KATIKA WA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 October 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI 2025 October 03, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023 December 14, 2022
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • WANANCHI WA KIJIJI CHA KATARYO KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA LISHE KITAIFA 2025

    November 21, 2025
  • KILELE CHA MAADHIMISHO YA LISHE KITAIFA KATIKA KIJIJI CHA KATARYO KILICHOPO KATA YA TEGERUKA.

    November 21, 2025
  • KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI YAANZA TATHMINI YA MAOMBI YA MIKOPO YA TSH 700 MILIONI KWA VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    November 19, 2025
  • SALAMU ZA PONGEZI KUTEULIWA KUWA WAZIRI MKUU WA TANZANIA 2025 - 2030

    November 18, 2025
  • Angalia Yote

Video

KILELE CHA MAADHIMISHO YA LISHE KITAIFA YALIYOFANYIKA KIJIJI CHA KATARYO KATA YA TEGERUKA 2025
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal (PEPMIS)
  • Mfumo wa manunuzi (NeST)
  • PREM
  • PReMS
  • GMS
  • Mfumo wa kujisajiri kwa ajili ya bima ya afya (NHIF)

Tovuti mashuhuri

  • OWM - TAMISEMI
  • OR - UTUMISHI
  • NeST
  • NECTA
  • MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa