• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

IDARA YA UJENZI

1. Kutoa ushauri kuhusu sera ya sekta ya Ujenzi .

2. Kusimamia mfumo wa sheria kanuni na taratibu za sekta ya ujenzi kwa nia ya kuboresha ujenzi na matengenezo/ukarabati wa Barabara madaraja na majengo

3. Kubuni, kusimamia na kuratibu utekelezaji wa miradi ya ujenzi na matengenezo/ukarabati barabara , madaraja na majengo

4. Kufanya uchambuzi wa kina wa taarifa na takwimu za kujange/ kukarabati barabara madaraja na majengo

5. Kutayarisha taratibu za ununuzi wa makubaliano ya mikataba inayoihusisha Serikali katika masuala ya Ujenzi wa Barabara madaraja na majengo

6. Kusimamia utekelzaji wa makubaliano ya mikataba inayoihusisha Serikali katika masuala ya ujenzi wa Barabara madaraja na majengo

7. Kutayarisha mipango na bajeti mwaka ya ujenzi na matengenezo ukarabati wa barabara madaraja na majengo

8. Kutayarisha taarifa za miradi ya maendeleo ya mwezi, robo mwaka nusu mwaka na mwaka mzima ili kueleza maendeleo ya kazi ujenzi wa barabara madaraja na majengo

9. Kutoa ushauri wa kitaalam kuhusu matumizi bora ya umeme kutokana na mendeleo ya kiteknolojia.

10. Kuratibu miradi ya umeme na kutayarisha Programu ya utekelezaji wa miradi ya umeme

11. Kufanya ukaguzi wa shughuli za umeme ikiwa pamoja na kuhakiki viwango vya ubora wa huduma hiyo.

12. Kupitia mapendekezo ya miradi ya barabara madaraja na majengo

13. Kufanya ukaguzi wa majengo ikiwa pamoja na kuhakiki viwango vya ubora wa majengo

14. Kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu usanifu majengo

15. Kubuni kusimamia na kuratibu utekelezaji wa sera yenye kuhusisha taalum za wasanifu wa majengo

16. Kuhakikisha kuwa mikakati ya utekelezaji wa sera yenye kuhusisha taaluma za wasanifu majengo inazingatiwa

17. Kukusanya taarifa na takwimu kuhusu miradi mbalimbali kuhusu bei za vifaa vya barabara na majengo

18. Kuratibu shughuli za ukadiriaji ujenzi katika ngazi zote (kupokea mapendekezo, kutathimini mapendekezo kuingia mikataba na kuanza utekelezaji).

19. Kubuni, kusimamia na kuratibu utekelezaji wa sera ya ujenzi yenye kuhusisha taaluma za ukadiriaji ujenzi

20. Kuhakikisha kuwa mikakati ya utekelezaji wa sera ya ujenzi yenye kuhusisha taaluma za ukadiriaji ujenzi inazingatiwa

Matangazo

  • TANGAZO LA MATOKEO YA USAILI WA WAANDISHI WASAIDIZI August 23, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI August 17, 2024
  • MATOKEO YA UPIMAJI MTIHANI WA MOCK KIWILAYA KWA MWAKA 2023 May 17, 2023
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • **HUU NI MTEGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA**

    March 11, 2025
  • Bodi ya pamba Tanzania yatoa baiskeli Kwa wakulima wawezeshaji wa zao la pamba

    November 12, 2024
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAKAGUA UJENZI WA VYOO SHULE ZA MSINGI

    November 01, 2024
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 YATOLEWA

    October 09, 2024
  • Angalia Yote

Video

MWENGE WA UHURU 2024 WASISITIZA MATUMIZI YA MFUMO WA NEST
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi portal(ess)
  • YALIYOJILI KAMATI YA FEDHA
  • Agreement on provision of health services by Japan Government
  • PREM

Tovuti mashuhuri

  • Necta
  • Utumishi
  • Ajira
  • Salary Slip

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Musoma Town opposite to Airport

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa