• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

IDARA YA UJENZI

1. Kutoa ushauri kuhusu sera ya sekta ya Ujenzi .

2. Kusimamia mfumo wa sheria kanuni na taratibu za sekta ya ujenzi kwa nia ya kuboresha ujenzi na matengenezo/ukarabati wa Barabara madaraja na majengo

3. Kubuni, kusimamia na kuratibu utekelezaji wa miradi ya ujenzi na matengenezo/ukarabati barabara , madaraja na majengo

4. Kufanya uchambuzi wa kina wa taarifa na takwimu za kujange/ kukarabati barabara madaraja na majengo

5. Kutayarisha taratibu za ununuzi wa makubaliano ya mikataba inayoihusisha Serikali katika masuala ya Ujenzi wa Barabara madaraja na majengo

6. Kusimamia utekelzaji wa makubaliano ya mikataba inayoihusisha Serikali katika masuala ya ujenzi wa Barabara madaraja na majengo

7. Kutayarisha mipango na bajeti mwaka ya ujenzi na matengenezo ukarabati wa barabara madaraja na majengo

8. Kutayarisha taarifa za miradi ya maendeleo ya mwezi, robo mwaka nusu mwaka na mwaka mzima ili kueleza maendeleo ya kazi ujenzi wa barabara madaraja na majengo

9. Kutoa ushauri wa kitaalam kuhusu matumizi bora ya umeme kutokana na mendeleo ya kiteknolojia.

10. Kuratibu miradi ya umeme na kutayarisha Programu ya utekelezaji wa miradi ya umeme

11. Kufanya ukaguzi wa shughuli za umeme ikiwa pamoja na kuhakiki viwango vya ubora wa huduma hiyo.

12. Kupitia mapendekezo ya miradi ya barabara madaraja na majengo

13. Kufanya ukaguzi wa majengo ikiwa pamoja na kuhakiki viwango vya ubora wa majengo

14. Kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu usanifu majengo

15. Kubuni kusimamia na kuratibu utekelezaji wa sera yenye kuhusisha taalum za wasanifu wa majengo

16. Kuhakikisha kuwa mikakati ya utekelezaji wa sera yenye kuhusisha taaluma za wasanifu majengo inazingatiwa

17. Kukusanya taarifa na takwimu kuhusu miradi mbalimbali kuhusu bei za vifaa vya barabara na majengo

18. Kuratibu shughuli za ukadiriaji ujenzi katika ngazi zote (kupokea mapendekezo, kutathimini mapendekezo kuingia mikataba na kuanza utekelezaji).

19. Kubuni, kusimamia na kuratibu utekelezaji wa sera ya ujenzi yenye kuhusisha taaluma za ukadiriaji ujenzi

20. Kuhakikisha kuwa mikakati ya utekelezaji wa sera ya ujenzi yenye kuhusisha taaluma za ukadiriaji ujenzi inazingatiwa

Matangazo

  • MTIHANI WA KUHITIMU ELIMU YA MSINGI (PSLE) KUANZA SEPTEMBA 10, 2025 NA KUMALIZIKA SEPTEMBA 11, 2025. September 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI 2025 August 29, 2025
  • TANGAZO LA HESABU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 July 01, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023 December 14, 2022
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • WATUMISHI WA UMMA MUSOMA DC WASHIRIKI MAZOEZI YA PAMOJA KUIMARISHA AFYA

    September 13, 2025
  • MTIHANI WA KUHITIMU ELIMU YA MSINGI (PSLE) SEPTEMBA 10 - 11, 2025.

    September 10, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATUA MUSOMA DC

    August 16, 2025
  • WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAASWA KUZINGATIA SHERIA,MIONGOZO NA TARATIBU ZA UCHAGUZI MKUU 2025

    August 04, 2025
  • Angalia Yote

Video

WATUMISHI WA UMMA MUSOMA DC WASHIRIKI MAZOEZI YA PAMOJA KUIMARISHA AFYA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal (PEPMIS)
  • Mfumo wa manunuzi (NeST)
  • PREM
  • PReMS
  • GMS
  • Mfumo wa kujisajiri kwa ajili ya bima ya afya (NHIF)

Tovuti mashuhuri

  • OR - TAMISEMI
  • OR - UTUMISHI
  • NeST
  • NECTA
  • MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa