• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

Video

  • MWENGE WA UHURU 2024 WASISITIZA MATUMIZI YA MFUMO WA NEST

    August 9th, 2024

    Mwenge wa Uhuru 2024 katika Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, wasisitiza matumizi ya Mfumo wa Nest katika manunuzi yote yanayofanyika katika Taasisi zetu

  • UUZAJI WA VIWANJA VYA MAKAO MAKUU

    December 7th, 2022

    Sasa unaweza kupata viwanja vilivyoko Makao makuu ya Halmashauri Mkabala na Hospitali ya Wilaya kwa bei nzuri sana.Wahi sasa kwa maana vimebaki vichache sana

  • KAYOMBO AKEMEA VITENDO VYA KISHIRIKINA BUGOJI

    October 13th, 2018

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma Ndg. John Lipesi Kayombo amewataka Diwani wa Kata ya Bugoji, Mwenyekiti wa Kijiji cha Bugoji, Wenyeviti wa kamati za msingi Kanderema ‘A’ na ‘B’ pamoja na wananchi kuhakikisha ndani ya mwezi mmoja vitendo vya kishirikina vinavyoendelea katika shule hizo vinatokomezwa.


    Mkurugenzi Kayombo ametoa maagizo hayo Jana Ijumaa 12, Oktoba 2018 wakati wa kikao cha pamoja kati yake na viongozi wa Kata ya Bugoji, viongozi wa Kijiji cha Bugoji, walimu wa shule za Msingi za Kanderema ‘A’ na Kanderema ‘B’ pamoja na wananchi wa Kijijij cha Bugoji.


    Kikao hicho kimefanyika baada ya kuripotiwa matendo mengi ya kishirikina wanayokutana nayo walimu pamoja na wanafunzi wa shule hizo tangu mwaka 2013 mpaka sasa.


    Matendo hayo ya kishirikina yaliyoripotiwa yakiwemo ya wanafunzi kuanguka darasani, kupotea kimazingara kwa vitu mbalimbali vikiwemo simu, mboga, kihifadhi chaji (power bank),kufunguliwa kwa milango, watoto wadogo kuwekwa uvunguni kimazingara, nyumba kufagiliwa na  tukio kubwa la mke wa Mwalimu Rawlence John ambaye ni Mkuu wa shule Kanderema ‘B’ kujifungua Kokwa za Parachichi zenye chale na hirizi nyeusi.


    Akizungumza wakati wa kikao hicho Mkurugenzi Kayombo aliwataka wananchi wa Kijiji cha Bugoji kuachana na dhana potofu ya ushirikina badala yake wawe msaada kwa walimu hao ili waweze kutimiza majukumu yao kiufasaha na hatimaye kuongeza ufaulu kwa wanafunzi.


    “Nimesikitika kusikia mambo ya kishirikina yanayoendelea kufanyika hapa, madaftari yanasahihishwa kimazingara, watoto wanasweka uvunguni, milango inafunguliwa kimazingara, wanafunzi wanaanguka hovyo madarasani ikaenda mbali zaidi mke wa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kenderema ‘B’ Mwl. Rawlence John kajifungua Kokwa mbili za Parachichi zenye chale na hirizi nyeusi kwa Kweli sio jambo jema” alisema Kayombo.


    “Uchawi wa namna hiyo katika karne hii haupo, tunahitaji uchawi wa maendeleo, tunahitaji hospitali, shule na barabara nzuri, huo ndio uchawi wa maendeleo” alisema Kayombo.


    “Naagiza Mh. Diwani wa Kata ya Bugoji, Mwenyekiti wa Kijiji cha Bugoji, Wenyeviti wa kamati za shule za msingi Kanderema ‘A’ na Kanderema ‘B’ pamoja na wananchi muhakikishe swala hili ndani ya mwezi mmoja liwe limekwisha” alisema Kayombo.


    Baada ya kumaliza kikao hicho Mkurugenzi Kayombo aliongoza na waalimu pamoja na viongozi wa Kijiji kwenda kuona nyumba wanazoishi walimu waliopatwa na maswahiba hayo.

  • 1
  • 2
  • 3
  • Next →

Matangazo

  • TANGAZO LA MATOKEO YA USAILI WA WAANDISHI WASAIDIZI August 23, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 25, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI August 17, 2024
  • MATOKEO YA UPIMAJI MTIHANI WA MOCK KIWILAYA KWA MWAKA 2023 May 17, 2023
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • **HUU NI MTEGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA**

    March 11, 2025
  • Bodi ya pamba Tanzania yatoa baiskeli Kwa wakulima wawezeshaji wa zao la pamba

    November 12, 2024
  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAKAGUA UJENZI WA VYOO SHULE ZA MSINGI

    November 01, 2024
  • MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 YATOLEWA

    October 09, 2024
  • Angalia Yote

Video

MWENGE WA UHURU 2024 WASISITIZA MATUMIZI YA MFUMO WA NEST
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi portal(ess)
  • YALIYOJILI KAMATI YA FEDHA
  • Agreement on provision of health services by Japan Government
  • PREM

Tovuti mashuhuri

  • Necta
  • Utumishi
  • Ajira
  • Salary Slip

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Musoma Town opposite to Airport

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa