• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

Video

  • SIMULIZI ZA MAFANIKIO MUSOMA DC

    May 28th, 2018

    Wazazi na wanajamii wote kwa ujumla  wajishangaa kwa kukumbushwa majukumu yao na huyu mtoto katika utangazaji wa simulizi za mafanikio katika kijiji cha Kwikuba Halmashauri ya Wilaya ya Musoma tarehe 25/05/2018

  • Zao la pamba kununuliwa kwenye vyama vya ushirika tu

    March 20th, 2018

    Waziri wa kilimo  Eng. dkt. Charles John Tizeba akiwa katika ziara yake  kijiji cha Kwibara Kata ya Mugango katika Halmashauri ya Wilaya  ya Musoma tarehe 17/03/2018 ameagiza kuwa zao la pamba linunuliwe kwenye vyama vya ushirika tu na si vinginevyo.

    Kwa wale wote ambao hawajajiunga na vyama hivi, sasa ndio wakati wa kujiunga kwani wasipofanya hivyo hawataweza kuuza zao hilo la pamba.

  • Wananchi wavumbua mbinu mpya ya kusafirisha samaki haramu

    February 24th, 2018

    Mkuu wa Wilaya ya Musoma  Dkt. Vincent Naano Anney akamata samaki waliochini ya ukubwa unaohitajika waliokuwa wanasafirishwa kwa uficho kutoka mwalo wa Bwai (Musoma vijijini) kuelekea Musoma Mjini. Akiongea na wananchi wa eneo la tukio leo tarehe 23/2/2018 katika kijiji cha Nyakatende, amekemea tabia mbaya ya baadhi ya wananchi kuendekeza biashara haramu hii ya uvuvi haramu

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • Next →

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO KWANZA 2024 December 17, 2023
  • WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023 December 14, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2023 November 25, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2022 December 05, 2022
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • MAFUNZO YA MFUMO WA IMES YATOLEWA KWA WATENDAJI WA KATA PAMOJA NA MAAFISA ELIMU KATA

    August 02, 2024
  • MAFUNZO YA MFUMO WA IMES YATOLEWA KWA WATENDAJI WA KATA PAMOJA NA MAAFISA ELIMU KATA

    August 02, 2024
  • MWENGE WA UHURU 2024 WATEMBELEA KITUO CHA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUMU

    July 31, 2024
  • UFUNGUZI WA KLABU YA WAPINGA RUSHWA

    July 31, 2024
  • Angalia Yote

Video

MWENGE WA UHURU 2024 WASISITIZA MATUMIZI YA MFUMO WA NEST
Video zaidi

Kurasa za karibu

Tovuti mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa