Mwenge wa Uhuru 2025 leo 16 Agosti 2025 umepokelewa Wilayani Musoma.
Mkuu wa Wilaya ya Musoma Mhe. Juma Chikoka akiupokea Mwenge wa Uhuru leo Agosti 16,2025 katika viwanja vya shule ya Msingi Kaburabura kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe. Aswege Enock Kaminyonge baada ya kuhitimisha mbio zake Wilayani Bunda katika Halmashauri ya Manispaa ya Bunda.
Mwenge wa Uhuru 2024 katika Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, wasisitiza matumizi ya Mfumo wa Nest katika manunuzi yote yanayofanyika katika Taasisi zetu
Sasa unaweza kupata viwanja vilivyoko Makao makuu ya Halmashauri Mkabala na Hospitali ya Wilaya kwa bei nzuri sana.Wahi sasa kwa maana vimebaki vichache sana
Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa