• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

Elimu msingi

Idara ya Elimu msingi ni mojawapo ya idara 13 zilizoko Katika Halmashauri ya wilaya Musoma.Idara hii inajumla ya watumishi 11 ambao wanatekeleza majukumu katika vitengo vifuatavyo;

  • Elimu ya watu wazima
  • Taaluma
  • Takwimu
  • Utamaduni na michezo

Majukumu ya Idara:

Kusimamia utekelezaji wa Sera ya Elimu katika mfumo rasmi na elimu nje ya mfumo rasmi katika Halmashauri ya wilaya musoma. Aidha ni pamoja na,

  •  Kuandikisha watoto wa darasa la kwanza wenye umri wa miaka wa kwenda shule.
  •  Kuelimisha jamii kushiriki katika mambo mbali mbali ya shule kupitia vikao vya mitaa ambavyo wananchi watahudhuria na kutoa maoni.
  •  Kuandaa bajeti ya idara na vitengo vyake ikiwa ni pamoja na mpango kazi unaoendana na bajeti hiyo.
  • Kusimamia na kuendeleza taaluma katika Halmashauri ya wilaya  musoma kwa kusimamia ufundishaji, ujifunzaji mahudhurio ya walimu, wanafunzi na utendaji kazi kwa ujumla.
  • Kuandaa takwimu mbalimbali za kielimu za wanafunzi, walimu,samani na miundombinu.
  • Kuratibu mashindano ya taaluma na michezo kwa shule za msingi.

Matangazo

  • MATOKEO YA UPIMAJI MTIHANI WA MOCK KIWILAYA KWA MWAKA 2023 May 17, 2023
  • KUTUMIA VIZURI MVUA ZA MASIKA ZILIZOANZA KUNYESHA March 31, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA KWANZA NA CHA TATU KIWILAYA January 07, 2023
  • WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023 December 14, 2022
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • MAFURIKO YAKUMBA KIJIJI CHA KUSENYI-SUGUTI

    April 03, 2023
  • MAZINGIRA YA HOSPITALI YA WILAYA HAYARIDHISHI

    March 24, 2023
  • MAFUNZO YATOLEWA KWA WALIMU

    March 23, 2023
  • EMEDO NA IPSOS YATOA MATOKEO YA UTAFITI WA KUZUIA WAVUVI KUZAMA

    June 10, 2022
  • Angalia Yote

Video

UUZAJI WA VIWANJA VYA MAKAO MAKUU
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • YALIYOJILI KAMATI YA FEDHA
  • Agreement on provision of health services by Japan Government

Tovuti mashuhuri

  • Necta
  • Utumishi
  • Ajira
  • Salary Slip

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Musoma Town opposite to Airport

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa