• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

CCM YASHINDA UCHAGUZI WA MAKAMU MWENYEKITI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA

Posted on: September 17th, 2018


Halmashauri ya Wilaya ya Musoma imefanya kikao cha kawaida cha baraza la Madiwani ambapo agenda mbalimbali zilijadiliwa ikiwemo kumchagua Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo.


Wagombea wawili walijitokeza kugombea nafasi hiyo ambao ni Diwani wa Kata ya Bugoji  Mh. Ibrahimundi M. Buruya kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Diwani wa Kata ya Bulinga Mh. Mambo J. Rebule kutoka (CHADEMA).


Wapiga kura katika Uchaguzi huo (Madiwani) walikuwa 28.


Akitangaza matokeo hayo Msimamizi wa Uchaguzi huo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma Ndg. John Kayombo alimtangaza Mgombea wa nafasi hiyo  kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Mh. Ibrahimundi M. Buruya kuwa mshindi wa Uchaguzi huo.


"Wagombea walikuwa wawili Mh. Ibrahimundi M. Buruya wa CCM na Mh. Mambo J. Rebule wa CHADEMA, wapiga kura walikuwa 28,   kura zilizoharibika hakuna, kura halali 28" alisema Kayombo.


"Katika kura hizo mgombea wa CHADEMA Mh. Mambo J. Rebule     amepata kura 5 na mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Mh. Ibrahimundi M. Buruya     amepata kura 23, kwa mamlaka niliyonayo napenda kumtangaza mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Mh. Ibrahimundi M. Buruya          kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Musoma kwa mwaka  2018/2019" alisema Kayombo.


Matangazo

  • SIKU YA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI OKTOBA 29, 2025 October 29, 2025
  • MTIHANI WA KUHITIMU ELIMU YA MSINGI (PSLE) KUANZA SEPTEMBA 10, 2025 NA KUMALIZIKA SEPTEMBA 11, 2025. September 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI 2025 August 29, 2025
  • TANGAZO LA HESABU ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 July 01, 2025
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • MKUU WA MKOA WA MARA MHE. KANALI EVANS ALFRED MTAMBI AMKABIDHI MKURUGENZI MTENDAJI (W) NDUGU. MSONGELA NITU PALELA CHETI CHA KUTHAMINI (CERTIFICATE OF APPRECIATION) KWENYE MAADHIMISHO YA KILELE CHA MARA DAY YALIYOFANYIKA WILAYANI BUTIAMA 15 SEPTEMBA 2025.

    September 15, 2025
  • WATUMISHI WA UMMA MUSOMA DC WASHIRIKI MAZOEZI YA PAMOJA KUIMARISHA AFYA

    September 13, 2025
  • MTIHANI WA KUHITIMU ELIMU YA MSINGI (PSLE) SEPTEMBA 10 - 11, 2025.

    September 10, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATUA MUSOMA DC

    August 16, 2025
  • Angalia Yote

Video

WATUMISHI WA UMMA MUSOMA DC WASHIRIKI MAZOEZI YA PAMOJA KUIMARISHA AFYA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal (PEPMIS)
  • Mfumo wa manunuzi (NeST)
  • PREM
  • PReMS
  • GMS
  • Mfumo wa kujisajiri kwa ajili ya bima ya afya (NHIF)

Tovuti mashuhuri

  • OR - TAMISEMI
  • OR - UTUMISHI
  • NeST
  • NECTA
  • MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa