• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

CCM YASHINDA UCHAGUZI WA MAKAMU MWENYEKITI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA

Posted on: September 17th, 2018


Halmashauri ya Wilaya ya Musoma imefanya kikao cha kawaida cha baraza la Madiwani ambapo agenda mbalimbali zilijadiliwa ikiwemo kumchagua Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo.


Wagombea wawili walijitokeza kugombea nafasi hiyo ambao ni Diwani wa Kata ya Bugoji  Mh. Ibrahimundi M. Buruya kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Diwani wa Kata ya Bulinga Mh. Mambo J. Rebule kutoka (CHADEMA).


Wapiga kura katika Uchaguzi huo (Madiwani) walikuwa 28.


Akitangaza matokeo hayo Msimamizi wa Uchaguzi huo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma Ndg. John Kayombo alimtangaza Mgombea wa nafasi hiyo  kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Mh. Ibrahimundi M. Buruya kuwa mshindi wa Uchaguzi huo.


"Wagombea walikuwa wawili Mh. Ibrahimundi M. Buruya wa CCM na Mh. Mambo J. Rebule wa CHADEMA, wapiga kura walikuwa 28,   kura zilizoharibika hakuna, kura halali 28" alisema Kayombo.


"Katika kura hizo mgombea wa CHADEMA Mh. Mambo J. Rebule     amepata kura 5 na mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Mh. Ibrahimundi M. Buruya     amepata kura 23, kwa mamlaka niliyonayo napenda kumtangaza mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Mh. Ibrahimundi M. Buruya          kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Musoma kwa mwaka  2018/2019" alisema Kayombo.


Matangazo

  • KUITWA KAZINI December 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NOVEMBA 2021 November 19, 2021
  • Fomu za kujiunga na Kidato cha Kwanza kwa Mwaka 2021 December 16, 2020
  • TANGAZO LA AJIRA October 10, 2021
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • TUZO YA UFAULU WA TAALUMA

    February 21, 2022
  • VIJIJI 31 MUSOMA DC KUNUFAIKA NA MRADI WA SERIKALI WA MAJI SAFI NA SALAMA (WSDP)

    September 17, 2018
  • CCM YASHINDA UCHAGUZI WA MAKAMU MWENYEKITI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA

    September 17, 2018
  • MUSOMA DC YAKAGUA MRADI WA UCHIMBAJI NA UCHENJUAJI DHAHABU WA JEMA PARTNERS.

    September 16, 2018
  • Angalia Yote

Video

KAYOMBO AKEMEA VITENDO VYA KISHIRIKINA BUGOJI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • YALIYOJILI KAMATI YA FEDHA
  • Agreement on provision of health services by Japan Government

Tovuti mashuhuri

  • Necta
  • Utumishi
  • Ajira
  • Salary Slip

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Musoma Town opposite to Airport

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa