• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KIKAZI KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI

Posted on: January 22nd, 2026

Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira imefanya ziara ya kikazi katika maeneo mbalimbali ya Wilaya kwa lengo la kupokea taarifa na kukagua utekelezaji wa shughuli za maendeleo zinazofanyika katika ngazi ya vijiji.

Katika ziara hiyo, Kamati ilitembelea Kijiji cha Busekera ambako ilipokea taarifa na kukagua shughuli zinazofanyika katika eneo la Mwaloni pamoja na stendi ya magari yaendayo Mikoani. Aidha, Kamati ilitembelea Kijiji cha Chirorwe kwa ajili ya kupokea taarifa na kukagua shughuli za uchimbaji zinazoendelea katika kijiji hicho. Ziara hiyo pia ilijumuisha Kijiji cha Sanya Bwai, ambapo Kamati ilipokea taarifa na kukagua ujenzi wa choo pamoja na shughuli nyingine zinazotekelezwa katika eneo la Mwaloni.

Ziara hiyo ilifanyika tarehe 22 Januari, 2026, ikiwa ni sehemu ya jukumu la Kamati la kufuatilia, kusimamia na kuhakikisha shughuli za kiuchumi, ujenzi na mazingira zinatekelezwa kwa mujibu wa mipango na taratibu zilizowekwa.

Matangazo

  • MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI November 27, 2025
  • SIKU YA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI OKTOBA 29, 2025 October 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA KATIKA WA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 October 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI 2025 October 03, 2025
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • KIKAO CHA UTAMBULISHO CHA WAKUU WA DIVISHENI NA VITENGO KWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA CHAFANYIKA

    January 23, 2026
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KIKAZI KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI

    January 22, 2026
  • **ZIARA YA UFUATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO YAFANYIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA**

    January 20, 2026
  • TIMU YA WATAALAM WA MKOA NA HALMASHAURI WAANZA ZIARA YA UFUATILIAJI WA MIRADI - MUSOMA DC

    January 14, 2026
  • Angalia Yote

Video

MANDHARI INAYOPATIKANA KISIWANI RUKUBA, KATA YA ETARO HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal (PEPMIS)
  • Mfumo wa manunuzi (NeST)
  • PREM
  • PReMS
  • GMS
  • Mfumo wa kujisajiri kwa ajili ya bima ya afya (NHIF)

Tovuti mashuhuri

  • OWM - TAMISEMI
  • OR - UTUMISHI
  • NeST
  • NECTA
  • MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa