• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

KIKAO NA WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI NA MSINGI,WENYEVITI WA VIJJI NA VITONGOJI, WATUMISHI NGAZI YA VIJIJI NA KATA PAMOJA NA VIONGOZI NGAZI YA HALMASHAURI KWA DHUMUNI LA KUBORESHA UTENDAJI KATIKA VIJIJI VYETU HASA UTOAJI WA ELIMU BORA

Posted on: November 18th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma Ndg.Msongela Palela katika ukumbi wa Makanya uliopo Kata ya Mugango Kiji cha Kwibara amefanya kikao na wakuu wa shule za sekondari na Msingi,Wenyeviti wa vijji na Vitongoji, Watumishi ngazi ya vijiji na Kata pamoja na viongozi ngazi ya Halmashauri kwa dhumuni la kuboresha utendaji katika vijji vyetu hasa utoaji wa elimu bora "Serikali zetu za vijji zimejipangaje katika zoezi la utoaji wa chakula shuleni?" Ameuliza Mkurugenzi Msongela ambapo Ndg. Richard Charles ambaye ni mwenyekiti wa Kiji cha Bulinga amesema sababu kubwa ya wazazi kutochangia chakula cha wanafunzi mashuleni ni matumizi mabaya ya vyakula hivyo kwani vinatumiwa na walimu badala ya wanafunzi na hivyo hawaoni umuhimu wa kuchangia chakula. Sambamba na hilo amesema kuwa ubora wa chakula kinachotolewa shuleni ni mdogo hivyo kupelekea chakula hicho kutoliwa na Watoto wao hivyo hawaoni haja ya kuchangia chakula ambacho Watoto wao hawakitumii


Ndg.Msongela amesisitiza jamii zetu kushiriki katika utoaji wa chakula shuleni kwani chakula ni hitaji la msingi na sio anasa na mtoto mwenye njaa hawezi kusoma. Tunapochangia chakula, tunachangia

afya,mahudhurio na mafanikio ya wanafunzi wetu. Ndg. Msongela ameahidi ubora na usalama wa chakula hicho. "Tunaandaa kinyago ambacho kwa kila kata itakayokuwa ya mwisho katika zoezi hili itakichukua na kukaa nacho kwa mwaka mzima ila kwa Kata itakayofanya vizuri nayo itazawadiwa". Amesisitiza Mkurugenzi

Matangazo

  • SIKU YA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI OKTOBA 29, 2025 October 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA KATIKA WA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 October 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI 2025 October 03, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023 December 14, 2022
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • WANANCHI WA KIJIJI CHA KATARYO KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA LISHE KITAIFA 2025

    November 21, 2025
  • KILELE CHA MAADHIMISHO YA LISHE KITAIFA KATIKA KIJIJI CHA KATARYO KILICHOPO KATA YA TEGERUKA.

    November 21, 2025
  • KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI YAANZA TATHMINI YA MAOMBI YA MIKOPO YA TSH 700 MILIONI KWA VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    November 19, 2025
  • SALAMU ZA PONGEZI KUTEULIWA KUWA WAZIRI MKUU WA TANZANIA 2025 - 2030

    November 18, 2025
  • Angalia Yote

Video

KILELE CHA MAADHIMISHO YA LISHE KITAIFA YALIYOFANYIKA KIJIJI CHA KATARYO KATA YA TEGERUKA 2025
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal (PEPMIS)
  • Mfumo wa manunuzi (NeST)
  • PREM
  • PReMS
  • GMS
  • Mfumo wa kujisajiri kwa ajili ya bima ya afya (NHIF)

Tovuti mashuhuri

  • OWM - TAMISEMI
  • OR - UTUMISHI
  • NeST
  • NECTA
  • MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa