Lengo la SALiKi katika maeneo yetu ni kuifahamisha jamii kuwa msingi wa afya zetu kwa ajili ya kuendeleza uhai, hali njema ya afya na nguvu kazi yenye tija katika jamii unatokana na chakula unachokula.
Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.
Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma
Simu: 0282622163
simu ya mkononi:
Barua pepe: ded@musomadc.go.tz
Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa