• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

SIKU YA AFYA NA LISHE YAFANYIKA KIJIJI CHA KUSENYI, SUGUTI WANANCHI WAELIMISHWA NA KUPATA HUDUMA MBALIMBALI ZA KINGA.

Posted on: December 3rd, 2025

Siku ya Afya na Lishe ya kijiji cha Kusenyi, kata ya Suguti, imefanyika leo tarehe 3 Desemba 2025 na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali ya kata na vijiji. Viongozi hao ni pamoja na Mtendaji wa Kata ya Suguti, Afisa Maendeleo wa Kata, Mtendaji wa Kijiji cha Suguti, Mwenyekiti wa Kijiji, Tabibu wa Zahanati ya Suguti, wahudumu wa afya ngazi ya jamii pamoja na mwenyeji wa shughuli hiyo, Mtendaji wa Kijiji cha Kusenyi.

Katika maadhimisho hayo, wananchi walipata fursa ya kupata elimu na huduma muhimu za afya na lishe, lengo likiwa ni kuboresha ustawi wa jamii na kupunguza changamoto zinazotokana na utapiamlo na magonjwa yanayoweza kuzuilika. Huduma zilizotolewa ni pamoja na:

* Elimu ya afya na lishe kwa makundi yote ya jamii

* Matone ya Vitamin A kwa watoto

* Dawa za minyoo

* Upimaji wa hali ya lishe

* Elimu kuhusu usafi wa mazingira na umuhimu wa matumizi sahihi ya vyoo

* Uhamasishaji kuhusu utoaji na kuchangia chakula shuleni

Viongozi na wataalamu walioshiriki walisisitiza umuhimu wa wananchi kuendelea kutumia huduma za afya, kuzingatia usafi, na kuhakikisha watoto wanapata lishe bora ili kujenga afya njema na maendeleo endelevu ya jamii.

Matangazo

  • MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI November 27, 2025
  • SIKU YA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI OKTOBA 29, 2025 October 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA KATIKA WA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 October 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI 2025 October 03, 2025
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • SIKU YA AFYA NA LISHE YAFANYIKA KIJIJI CHA KUSENYI, SUGUTI WANANCHI WAELIMISHWA NA KUPATA HUDUMA MBALIMBALI ZA KINGA.

    December 03, 2025
  • TAARIFA YA KIKAO CHA UPOKEAJI WA RIPOTI MAALUMU YA UTAFITI WA TATHMINI YA UTOAJI HUDUMA YA MATONE YA VITAMINI A.

    December 02, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI (CMT) YAFANYA UFUATILIAJI NA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO VIJIJINI.

    November 28, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI (W) NDG. MSONGELA PALELA AFUNGA MAFUNZO YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KWA WENYEVITI WA VIJIJI – MUSOMA DC

    November 26, 2025
  • Angalia Yote

Video

MANDHARI INAYOPATIKANA KISIWANI RUKUBA, KATA YA ETARO HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal (PEPMIS)
  • Mfumo wa manunuzi (NeST)
  • PREM
  • PReMS
  • GMS
  • Mfumo wa kujisajiri kwa ajili ya bima ya afya (NHIF)

Tovuti mashuhuri

  • OWM - TAMISEMI
  • OR - UTUMISHI
  • NeST
  • NECTA
  • MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa