• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

UJENZI KUPITIA CSR - KAMPUNI YA POLYGOLD NA EDWIN MCHIHYO WAUNGANA UJENZI WA SHULE SHIKIZI YA EKUNGU YAPATA MADARASA MAPYA MANNE.

Posted on: December 18th, 2025

Kupitia mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii (Corporate Social Responsibility – CSR), Kampuni ya Polygold kwa kushirikiana na Ndugu Edwin Mchihyo wamefanikiwa kuchangia ujenzi wa Shule Shikizi ya Ekungu, hatua iliyoboresha mazingira ya elimu ya awali kwa watoto wa jamii ya Ekungu.

Katika kukagua utekelezaji wa mradi huo wa CSR, watu wa kampuni ya Polygold na Ndugu Edwin Mchihyo wakiongozana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, Ndugu Msongela Nitu Palela, pamoja na wataalam mbalimbali, walifanya ziara ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa shule hiyo.

Katika ushirikiano huo:

Kampuni ya Polygold imejenga vyumba viwili vya madarasa na Ndugu Edwin Mchihyo amejenga vyumba viwili vya madarasa.

Ushirikiano huu wa CSR umeiwezesha Shule Shikizi ya Ekungu kufikia hatua muhimu ya utoaji wa elimu ya awali, huku ziara hiyo ikionesha dhima ya sekta binafsi na wadau wa maendeleo katika kuunga mkono juhudi za Serikali za kuboresha elimu.

Matangazo

  • MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI November 27, 2025
  • SIKU YA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI OKTOBA 29, 2025 October 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA KATIKA WA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 October 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI 2025 October 03, 2025
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • KAMATI YA MAAFA YA WATAALAM KUTOKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA IMEFANYA TATHMINI YA ATHARI ZA MVUA KUBWA KIJIJI CHA KURWAKI.

    December 31, 2025
  • ZIARA YA MGUU KWA MGUU YA MKUU WA WILAYA YA MUSOMA, MHE. JUMA CHIKOKA, PAMOJA NA TIMU YA MENEJIMENTI

    December 30, 2025
  • DKT. BASHIRU AALIKA WAWEKEZAJI WA NDANI KUCHANGAMKIA UFUGAJI WA SAMAKI KWA NJIA YA VIZIMBA

    December 22, 2025
  • ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUCHAGUA ENEO LA UJENZI WA STENDI.

    December 19, 2025
  • Angalia Yote

Video

MANDHARI INAYOPATIKANA KISIWANI RUKUBA, KATA YA ETARO HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal (PEPMIS)
  • Mfumo wa manunuzi (NeST)
  • PREM
  • PReMS
  • GMS
  • Mfumo wa kujisajiri kwa ajili ya bima ya afya (NHIF)

Tovuti mashuhuri

  • OWM - TAMISEMI
  • OR - UTUMISHI
  • NeST
  • NECTA
  • MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa