• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA NA LISHE KWA WATOTO WAKATI WA UZINDUZI WA KAMPENI YA AFYA NA LISHE.

Posted on: December 4th, 2025

MGENI RASMI ASHIRIKI UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA NA LISHE KWA WATOTO WAKATI WA UZINDUZI WA KAMPENI YA AFYA NA LISHE.

Katika uzinduzi wa Kampeni ya Mwezi wa Afya na Lishe kwa Mtoto uliofanyika leo 04 Desemba 2025 katika Kijiji cha Rukuba, Kata ya Etaro, Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, Mgeni rasmi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, Ndugu Msongela Nitu Palela, ameshiriki moja kwa moja katika ugawaji wa huduma muhimu za afya na lishe kwa watoto.

Akiwa kwenye eneo la tukio, Mkurugenzi Palela aliongoza zoezi la:

Kutoa matone ya Vitamin A kwa watoto wenye umri wa miezi 6–59, ambapo baadhi ya watoto alipokea na kuwapatia matone mwenyewe kama ishara ya uzinduzi wa rasmi wa kampeni hiyo.

* Kugawa dawa za minyoo kwa watoto wenye umri wa miezi 12–59, akisisitiza umuhimu wa kuwakinga watoto dhidi ya maambukizi ya minyoo kwa ajili ya afya bora na ukuaji mzuri.

* Kushiriki upimaji wa hali ya lishe kwa watoto wenye umri wa miezi 6–59, pamoja na ugawaji wa uji wa lishe kwa watoto waliobainika kuwa na changamoto za lishe, ili kuwapatia mlo wenye virutubisho muhimu.

Katika hotuba yake, Mkurugenzi Palela aliwahimiza wazazi na walezi kujitokeza kwa wingi katika kampeni hii ambayo itaendelea hadi tarehe 31 Desemba 2025, akisema kuwa huduma hizi ni msingi muhimu wa kuhakikisha watoto wanakua wakiwa na afya njema na uwezo mzuri wa kujifunza wanapokomaa.

Afya bora ya mtoto ni msingi wa taifa lenye nguvu na maendeleo!

Matangazo

  • MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI November 27, 2025
  • SIKU YA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI OKTOBA 29, 2025 October 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA KATIKA WA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 October 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI 2025 October 03, 2025
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • SIKU YA PILI YA KAMBI MAALUM YA UTATUZI WA KERO ZA WANACHI.

    January 27, 2026
  • KAMBI MAALUM YA HUDUMA YA KUTATUA KERO ZA WANANCHI – HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA

    January 26, 2026
  • KIKAO CHA UTAMBULISHO CHA WAKUU WA DIVISHENI NA VITENGO KWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA CHAFANYIKA

    January 23, 2026
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YAFANYA ZIARA YA KIKAZI KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI

    January 22, 2026
  • Angalia Yote

Video

MANDHARI INAYOPATIKANA KISIWANI RUKUBA, KATA YA ETARO HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal (PEPMIS)
  • Mfumo wa manunuzi (NeST)
  • PREM
  • PReMS
  • GMS
  • Mfumo wa kujisajiri kwa ajili ya bima ya afya (NHIF)

Tovuti mashuhuri

  • OWM - TAMISEMI
  • OR - UTUMISHI
  • NeST
  • NECTA
  • MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa