• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

WANAFUNZI WOTE WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA 2024 NI LAZIMA WAENDE SHULE

Posted on: May 17th, 2024

Katibu Tawala wa Wilaya ya Musoma Ndg. Ally Said Mwendo Leo Mei 17, 2024  katika kikao Cha tathmini ya Mkataba wa Lishe Kwa robo ya tatu 2023/2024 amewataka Watendaji wa Kata kufatilia Wanafunzi wote ambao hawajaripoti katika Shule za sekondari walizopangiwa  Kwa kuwachukulia hatua za kisheria Wazazi wanaokwamisha watoto wao kwenda shule.

Wakionge katika kikao hiki, Watendaji wa Kata wametoa Sababu mbalimbali za utoro wa wanafunzi shuleni ikiwa ni pamoja na Wazazi kutengana, kufanya shughuli za uvuvi visiwani pamoja na Wazazi wa watoto  kuhamia maeneo mengine Kwa shughuli za kiuchumi na hivyo kupelekea kutohudhuria shuleni." Taarifa za watoto wote ambao hawapo shuleni zimeshatolewa Polisi na wanaendelea kutafutwa". Watendaji wameripoti.

Akiwasilisha taarifa ya mwenendo wa Mkataba wa Lishe Kwa robo ya tatu 2023/2024, Mratibu wa Lishe Wilaya Ndg. Bundi Clement amesema Kwa sasa zoezi la utoaji wa chakula kwenye shule zetu ni zaidi ya asilimia 90 

"Sisi kama viongozi ni lazima tusimamie suala la usafi pamoja na Ujenzi wa vyoo katika maeneo yetu kwani Ugonjwa wa Kuharisha na Kutapika Bado upo. Naamini Kila mmoja atasimamia wajibu wake hasa katika Mazingira ya utoaji chakula mashuleni kwani  yana mapungufu mengi hivyo yaboreshwe." Amesisitiza Ndg. Mwendo

"Suala la utoaji wa Fedha za Mkataba wa Lishe kutoka mapato ya ndani naamini Mkurugenzi atalisimamia maana sisi tumechoka kusemwa na kama hatafanya hivyo atajieleza mwenyewe maana katika tathmini ya Mkataba wa Lishe robo hii ya tatu inaonekana tuko kwenye alama nyekundu Kwa utoaji wa Fedha hizo Kwa asilimia 48". Amesiaitiza Ndg.Mwendo huku akifunga kikao hicho.

Matangazo

  • MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI November 27, 2025
  • SIKU YA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI OKTOBA 29, 2025 October 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA KATIKA WA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 October 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI 2025 October 03, 2025
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • ELIMU YA UKATILI WA KIJINSIA, VVU/UKIMWI NA HAKI ZA BINADAMU YATOLEWA KWA WANANCHI NA WANAFUNZI WA BUKIMA KWA USHIRIKIANO WA DAWATI LA JINSIA NA WATOTO NA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII

    December 03, 2025
  • SIKU YA AFYA NA LISHE YAFANYIKA KIJIJI CHA KUSENYI, SUGUTI WANANCHI WAELIMISHWA NA KUPATA HUDUMA MBALIMBALI ZA KINGA.

    December 03, 2025
  • TAARIFA YA KIKAO CHA UPOKEAJI WA RIPOTI MAALUMU YA UTAFITI WA TATHMINI YA UTOAJI HUDUMA YA MATONE YA VITAMINI A.

    December 02, 2025
  • TIMU YA MENEJIMENTI (CMT) YAFANYA UFUATILIAJI NA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO VIJIJINI.

    November 28, 2025
  • Angalia Yote

Video

MANDHARI INAYOPATIKANA KISIWANI RUKUBA, KATA YA ETARO HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal (PEPMIS)
  • Mfumo wa manunuzi (NeST)
  • PREM
  • PReMS
  • GMS
  • Mfumo wa kujisajiri kwa ajili ya bima ya afya (NHIF)

Tovuti mashuhuri

  • OWM - TAMISEMI
  • OR - UTUMISHI
  • NeST
  • NECTA
  • MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa