• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

DC CHIKOKA AHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU TATU KWA WAHESHIMIWA MADIWANI - AKEMEA MIGOGORO ISIYO NA TIJA.

Posted on: January 14th, 2026

Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Mhe. Juma Chikoka, leo tarehe 14 Januari, 2026, amefunga rasmi mafunzo ya Waheshimiwa Madiwani yaliyodumu kwa siku tatu, na kutoa maelekezo muhimu yanayolenga kuimarisha utendaji kazi na kuharakisha maendeleo katika Halmashauri.

Katika hotuba yake ya kufunga mafunzo hayo, Mhe. Chikoka amewataka Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma na Halmashauri ya Wilaya ya Musoma kujiepusha na migogoro isiyo na tija inayoweza kuzorotesha kasi ya maendeleo katika Halmashauri hizo.

Amesisitiza kuwa migogoro yote isiyo na manufaa haipaswi kupewa nafasi, huku akiwataka Madiwani kudumisha ushirikiano mzuri kati yao na Timu za Wataalam katika Halmashauri husika ili kuhakikisha utekelezaji wa majukumu ya maendeleo unafanyika kwa ufanisi.

Mhe. Chikoka ameongeza kuwa Serikali haitarajii kuona baada ya mafunzo hayo Madiwani wakivuka mipaka ya mamlaka yao, bali watumie mafunzo hayo kama fursa ya kuweka mikakati thabiti ya kuleta mabadiliko chanya katika uongozi wao na kuacha alama itakayodumu kwa manufaa ya wananchi.

“Twende tukaache alama katika nafasi zetu tunazozitumikia” amesisitiza Mhe. Chikoka.

Aidha, ameeleza kuwa wananchi wanahitaji maendeleo ya haraka, hivyo ni muhimu kuongeza usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha thamani ya fedha na ubora wa kazi zinazotekelezwa.

Kuhusu ukusanyaji wa mapato, Mkuu wa Wilaya amesema kuwa hili ni suala la kufa au kupona, na litakuwa ajenda ya kudumu kwa wadau wote wa maendeleo ndani ya Halmashauri.

Mafunzo hayo ya Madiwani yalilenga kuwajengea uwezo, kuwawezesha kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi, uwajibikaji na tija inayotarajiwa na wananchi wa Wilaya ya Musoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI November 27, 2025
  • SIKU YA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI OKTOBA 29, 2025 October 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA KATIKA WA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 October 20, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI 2025 October 03, 2025
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • TIMU YA WATAALAM WA MKOA NA HALMASHAURI WAANZA ZIARA YA UFUATILIAJI WA MIRADI - MUSOMA DC

    January 14, 2026
  • DC CHIKOKA AHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU TATU KWA WAHESHIMIWA MADIWANI - AKEMEA MIGOGORO ISIYO NA TIJA.

    January 14, 2026
  • UFUATILIAJI WA MIRADI – MUSOMA DC

    January 14, 2026
  • MADIWANI WAPATA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO

    January 12, 2026
  • Angalia Yote

Video

MANDHARI INAYOPATIKANA KISIWANI RUKUBA, KATA YA ETARO HALMASHAURI YA WILAYA YA MUSOMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal (PEPMIS)
  • Mfumo wa manunuzi (NeST)
  • PREM
  • PReMS
  • GMS
  • Mfumo wa kujisajiri kwa ajili ya bima ya afya (NHIF)

Tovuti mashuhuri

  • OWM - TAMISEMI
  • OR - UTUMISHI
  • NeST
  • NECTA
  • MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa