• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Musoma District Council
Musoma District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Maji
      • Ujenzi
      • AFYA
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • AFYA
    • KILIMO
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayoanzishwa
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Mikataba ya huduma kwa wateja
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YAKAGUA UJENZI WA VYOO SHULE ZA MSINGI

Posted on: November 1st, 2024

Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Charles Magoma leo Oktoba 31, 2024 imetembelea miradi ya SWASH ya ujenzi wa vyoo katika shule za Msingi zilizopo katika Halmashauri yetu.  


Akiwasilisha taarifa ya ujenzi wa matundu 15 ya vyoo vya shule ya Msingi Wanyere B, Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Mwl. Erick Mosha amesema walipokea kiasi Cha Tshs 43,769,154.07 mnamo Tarehe 14/11/2023 na mpaka sasa wameshatumia kiasi Cha Tshs 23,776,631.57 Kwa kufikia hatua ya upauaji.


"Ucheleweshaji wa mradi wetu kutokamilika ni kutokana na ukosekanaji wa Vifaa vya ujenzi vinavyonunuliwa kupitia mfumo wa manunuzi(nest) ambao wazabuni walioomba zabuni bei zao za utoaji huduma ziko juu ukilinganisha na bei ya soko na hivyo kupelekea zabuni hizo kutangazwa tena".  Mwl. Erick Mosha ( Mwalimu Mkuu shule ya Msingi Wanyere B)  akiwaambia wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango.


Wajumbe wa Kamati wametembelea pia shule ya Msingi Seka,Kurugongo na Chimati ambao wote wako katika hatua ya upauaji. Kamati imewaagiza wasimamizi wa miradi hii kuwa imetoa muda wa wiki mbili Kwa miradi yote kukamilika kwani hawana sababu ya Msingi ya kuchelewesha ukamilishwaji wa miradi hiyo

Matangazo

  • SIKU YA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI OKTOBA 29, 2025 October 29, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI 2025 October 03, 2025
  • MTIHANI WA KUHITIMU ELIMU YA MSINGI (PSLE) KUANZA SEPTEMBA 10, 2025 NA KUMALIZIKA SEPTEMBA 11, 2025. September 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI 2025 August 29, 2025
  • Angalia Yote

Habari za sasa

  • MHE. MTAMBI AWATAKA WAJASIRIAMALI WA MARA KUREJESHA MIKOPO KWA WAKATI NA KUSHIRIKI UCHAGUZI 2025

    October 02, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MUSOMA MHE JUMA ISSA CHIKOKA ASHIRIKI MUSOMA BONANZA ILIYOAMBATANA NA SHUGHULI MBALIMBALI

    September 27, 2025
  • KILIMO CHA BUSTANI KWA TEKNOLOJIA YA UMWAGILIAJI WA MATONE (DRIP IRRIGATION SYSTEM) SHULE YA MSINGI NYETASYO

    September 25, 2025
  • WATUMISHI AJIRA MPYA 149 KUTOKA DIVISHENI NA VITENGO MBALIMBALI WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI.

    September 18, 2025
  • Angalia Yote

Video

WATUMISHI WA UMMA MUSOMA DC WASHIRIKI MAZOEZI YA PAMOJA KUIMARISHA AFYA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal (PEPMIS)
  • Mfumo wa manunuzi (NeST)
  • PREM
  • PReMS
  • GMS
  • Mfumo wa kujisajiri kwa ajili ya bima ya afya (NHIF)

Tovuti mashuhuri

  • OR - TAMISEMI
  • OR - UTUMISHI
  • NeST
  • NECTA
  • MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (e-GA)
  • AJIRA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (Suguti - Kwikonero, Barabara ya Majita) | 31117 - MUSOMA.

    Sanduku la Posta: P.o. Box 344 Musoma

    Simu: 0282622163

    simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@musomadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Malalamiko
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sitemap
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Musoma. Haki zote zimehifadhiwa